MAWABA!

hii ni ile story ka vile...
Ngware unarauka kupiga mawaba,
kunyam na kutoklezea mtaani yaani,
hustle ya siku mzuka kujua,
katashika ama utashikwa,
katajipa ama utalipa!
kiasi hivi ishajipa
wasee wako wapi base wakishughulika
mchache makali
ni teke juu mututho ako rada
stori, wadada na mawadada
msee muadhara!
sista ashafungwa msosi ni take away
keroma ni kutingwa
ka winchi kwa teii mchele!
maganji kulostia na malights kuzimwa,
mdihe ni mwenda na magwan wame muka
UKO MAWABA!"

No comments: